1 Wakorintho 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kila mmoja na aendelee kutafuta, si faida yake mwenyewe, bali faida ya yule mtu mwingine.+ Wafilipi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 huku mkiangalia, si faida zenu wenyewe,+ bali pia faida za wengine.+