Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 10:32, 33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Epukeni kuwa vikwazo kwa Wayahudi na vilevile kwa Wagiriki na kwa kutaniko la Mungu,+ 33 kama vile ninavyojaribu kuwapendeza watu wote katika mambo yote, bila kutafuta faida yangu mwenyewe,+ bali faida ya walio wengi, ili wapate kuokolewa.+

  • 1 Wakorintho 13:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Upendo+ ni wenye subira*+ na fadhili.+ Upendo hauna wivu.+ Haujigambi, haujivuni,+ 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.*+

  • Wafilipi 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 huku mkiangalia, si faida zenu wenyewe,+ bali pia faida za wengine.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki