Waroma 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo tusiwe tukihukumiana tena,+ badala yake tuazimie kutoweka kikwazo au kizuizi mbele ya ndugu.+ 1 Wakorintho 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa sababu hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu, mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza ndugu yangu.+ 2 Wakorintho 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hatutoi sababu yoyote ya kukwaza, ili kosa lolote lisipatikane katika huduma yetu;+
13 Kwa hiyo tusiwe tukihukumiana tena,+ badala yake tuazimie kutoweka kikwazo au kizuizi mbele ya ndugu.+
13 Kwa sababu hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu, mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza ndugu yangu.+