6 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungiwe shingoni jiwe la kusagia ambalo huzungushwa na punda, kisha azamishwe baharini.+
15 Kwa maana ikiwa unamkasirisha ndugu yako kwa sababu ya chakula, wewe hutembei tena kulingana na upendo.+ Kwa chakula chako usimwangamize* yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+