Waroma 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+ 1 Wakorintho 14:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Lakini mambo yote na yatendeke kwa adabu na kwa mpango.*+
13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+