Mhubiri 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Usimtukane* mfalme hata katika mawazo yako,*+ na usiwatukane matajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu huenda ndege* akapeleka habari zako,* au huenda kiumbe mwenye mabawa akarudia lililosemwa. Matendo 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Paulo akasema: “Akina ndugu, sikujua yeye ni kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usiseme vibaya kuhusu mtawala wa watu wako.’”+ Yuda 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Licha ya hayo, watu hawa pia wanajishughulisha na ndoto, wanauchafua mwili, wanadharau mamlaka, na kuwatukana watukufu.+
20 Usimtukane* mfalme hata katika mawazo yako,*+ na usiwatukane matajiri katika chumba chako cha kulala; kwa sababu huenda ndege* akapeleka habari zako,* au huenda kiumbe mwenye mabawa akarudia lililosemwa.
5 Paulo akasema: “Akina ndugu, sikujua yeye ni kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usiseme vibaya kuhusu mtawala wa watu wako.’”+
8 Licha ya hayo, watu hawa pia wanajishughulisha na ndoto, wanauchafua mwili, wanadharau mamlaka, na kuwatukana watukufu.+