Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Usimtukane Mungu+ wala kumlaani kiongozi* miongoni mwa watu wako.+

  • 2 Petro 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 hasa wale wanaotaka kutia unajisi miili ya wengine+ na ambao hudharau mamlaka.+

      Wana ujasiri na ushupavu, hawaogopi kuwatukana watukufu,

  • 3 Yohana 9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Niliandikia kutaniko jambo fulani, lakini Diotrefe, anayependa kuwa wa kwanza kati yao,+ hakubali kwa heshima jambo lolote kutoka kwetu.+ 10 Hiyo ndiyo sababu nikija, nitayashughulikia matendo anayofanya kwa kueneza maneno mabaya kutuhusu.*+ Hatosheki na hayo, bali pia anakataa kuwakaribisha kwa heshima akina ndugu;+ na wale wanaotaka kuwakaribisha, anajaribu kuwazuia na kuwatupa nje ya kutaniko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki