Waroma 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika upendo wa kindugu iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, iweni wa kwanza.*+ Wafilipi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifanye jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu* mwaone wengine kuwa bora kuliko ninyi,+ Waebrania 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watiini wale wanaoongoza kati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale watakaotoa hesabu,+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa huzuni, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.
10 Katika upendo wa kindugu iweni na upendo mwororo kwa mtu na mwenzake. Katika kuonyeshana heshima, iweni wa kwanza.*+
3 Msifanye jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu* mwaone wengine kuwa bora kuliko ninyi,+
17 Watiini wale wanaoongoza kati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuwalinda ninyi* kama wale watakaotoa hesabu,+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa huzuni, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.