Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:43, 44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Aliwaokoa mara nyingi,+

      Lakini walikuwa wakiasi na kukosa kutii,+

      Nao walikuwa wakifedheheshwa kwa sababu ya makosa yao.+

      44 Lakini alikuwa akiona taabu yao+

      Na kusikia kilio chao cha kuomba msaada.+

  • Zaburi 107:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Walikuwa wakimlilia Yehova awasaidie walipokuwa wakitaabika;

      Naye alikuwa akiwaokoa kutoka katika dhiki yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki