27 Mwishowe Farao akawatuma watu wawaite Musa na Haruni, naye akawaambia: “Nimetenda dhambi wakati huu.+ Yehova ni mwadilifu,+ na mimi na watu wangu tumekosea.
24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli: “Nimetenda dhambi;+ kwa kuwa nimevunja agizo la Yehova na maneno yako, kwa sababu niliwaogopa watu+ na kwa hiyo nikaitii sauti yao.