Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mwanadamu akifanya dhambi juu ya mwanadamu,+ Mungu atakuwa mwamuzi wake;+ lakini mwanadamu akifanya dhambi juu ya Yehova,+ ni nani atakayetoa sala kwa ajili yake?”+ Lakini hawakuisikiliza sauti ya baba+ yao, kwa sababu sasa Yehova alitaka kuwaua.+

  • 2 Wakorintho 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana huzuni kwa njia ya kimungu hutokeza toba kuelekea wokovu na haipasi kujuta;+ lakini huzuni ya ulimwengu hutokeza kifo.+

  • Yakobo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki