Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+ Isaya 51:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mimi—mimi mwenyewe ndiye Yule anayewafariji ninyi.+ “Wewe ni nani kwamba umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa,+ na mwanadamu ambaye atafanywa kuwa majani mabichi tu?+
12 “Mimi—mimi mwenyewe ndiye Yule anayewafariji ninyi.+ “Wewe ni nani kwamba umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa,+ na mwanadamu ambaye atafanywa kuwa majani mabichi tu?+