2 Mambo ya Nyakati 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote.
15 Na mambo ya Rehoboamu, ya kwanza na ya mwisho,+ je, hayakuandikwa kati ya maneno ya Shemaya+ nabii na Ido+ mwonaji kulingana na maandikisho ya kiukoo? Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu+ na Yeroboamu+ wakati wote.