Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Daudi akamwambia Yonathani: “Ni nani atakayeniambia ikiwa baba yako huenda akujibu neno kali?”

  • Methali 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uzima;+ lakini kinywa cha waovu, hufunika jeuri.+

  • Methali 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+

  • Methali 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwenye hekima huogopa na kuepuka ubaya,+ lakini mjinga anakuwa na ghadhabu na mwenye kujitumaini.+

  • Methali 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+

  • Waefeso 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Uchungu wote wenye uovu+ na hasira na ghadhabu na kupiga kelele na matukano+ na viondolewe mbali kutoka kwenu pamoja na ubaya wote.+

  • Waefeso 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea wao mambo hayohayo, na mwache kutisha,+ kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu+ pia yuko mbinguni, naye hana ubaguzi+ wowote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki