9 Hata hivyo, Daudi akawajibu Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi, na kuwaambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ aliyeikomboa+ nafsi+ yangu kutoka katika kila taabu,+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+