1 Samweli 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+ 1 Samweli 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, Daudi mwanangu. Bila shaka utafanya kazi nawe bila shaka utakuwa mshindi.”+ Daudi akaenda zake; lakini Sauli akarudi kwake.+ 2 Samweli 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli.
12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+
25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, Daudi mwanangu. Bila shaka utafanya kazi nawe bila shaka utakuwa mshindi.”+ Daudi akaenda zake; lakini Sauli akarudi kwake.+
7 Ndipo Nathani akamwambia Daudi: “Wewe mwenyewe ndiye yule mwanamume! Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mimi nilikutia mafuta+ uwe mfalme juu ya Israeli, nami nilikukomboa+ kutoka mkononi mwa Sauli.