Mwanzo 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kisha Yehova+ akaenda zake alipokuwa amemaliza kusema na Abrahamu, naye Abrahamu akarudi kwake. Hesabu 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha Balaamu akaondoka, akaenda na kurudi kwake.+ Na Balaki pia akaenda zake. 1 Samweli 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo Daudi akamwapia Sauli, kisha Sauli akaenda nyumbani kwake.+ Naye Daudi na watu wake wakapanda, wakaenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+ 1 Samweli 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya muda Sauli akapelekewa habari kwamba Daudi alikuwa amekimbia kwenda Gathi, kwa hiyo hakwenda kumtafuta tena.+ 2 Samweli 19:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Sasa watu wote wakaanza kuvuka Yordani, naye mfalme akavuka; lakini mfalme akambusu+ Barzilai na kumbariki,+ kisha akarudi mahali pake.
22 Kwa hiyo Daudi akamwapia Sauli, kisha Sauli akaenda nyumbani kwake.+ Naye Daudi na watu wake wakapanda, wakaenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+
4 Baada ya muda Sauli akapelekewa habari kwamba Daudi alikuwa amekimbia kwenda Gathi, kwa hiyo hakwenda kumtafuta tena.+
39 Sasa watu wote wakaanza kuvuka Yordani, naye mfalme akavuka; lakini mfalme akambusu+ Barzilai na kumbariki,+ kisha akarudi mahali pake.