Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kisha Yehova+ akaenda zake alipokuwa amemaliza kusema na Abrahamu, naye Abrahamu akarudi kwake.

  • Hesabu 24:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kisha Balaamu akaondoka, akaenda na kurudi kwake.+ Na Balaki pia akaenda zake.

  • 1 Samweli 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Daudi akamwapia Sauli, kisha Sauli akaenda nyumbani kwake.+ Naye Daudi na watu wake wakapanda, wakaenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+

  • 1 Samweli 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baada ya muda Sauli akapelekewa habari kwamba Daudi alikuwa amekimbia kwenda Gathi, kwa hiyo hakwenda kumtafuta tena.+

  • 2 Samweli 19:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Sasa watu wote wakaanza kuvuka Yordani, naye mfalme akavuka; lakini mfalme akambusu+ Barzilai na kumbariki,+ kisha akarudi mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki