1 Wafalme 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mfalme akaanza kuwajibu watu kwa ukali,+ akaliacha shauri la wanaume wazee waliomshauri.+ Ayubu 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Je, hekima haimo katikati ya wazee+Na uelewaji katika wingi wa siku?