Mwanzo 42:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Bwana wa nchi hiyo alisema nasi kwa ukali,+ kwa kuwa alituwazia kuwa sisi ni watu wanaoipeleleza nchi.+ Methali 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jibu, linapokuwa la upole, hugeuza ghadhabu,+ lakini neno linaloumiza hufanya hasira ipande.+ Methali 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Maskini husema kwa kusihi,+ lakini tajiri hujibu kwa ukali.+ Mhubiri 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Maneno ya kinywa cha mwenye hekima huleta kibali,+ bali mjinga humezwa na midomo yake.+
30 “Bwana wa nchi hiyo alisema nasi kwa ukali,+ kwa kuwa alituwazia kuwa sisi ni watu wanaoipeleleza nchi.+