7 Yosefu alipowaona ndugu zake, akawatambua mara moja, lakini akajifanya asitambulike kwao.+ Basi, akaongea nao kwa ukali na kusema: “Mmetoka wapi?” nao wakajibu: “Tumetoka nchi ya Kanaani ili kununua vyakula.”+
10 Lakini Nabali akawajibu watumishi wa Daudi na kusema: “Daudi ni nani,+ na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wanaotoroka, kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake, wamekuwa wengi.+