1 Samweli 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtalia siku hiyo kwa sababu ya mfalme wenu,+ ambaye mlijichagulia wenyewe, lakini Yehova hatawajibu siku hiyo.”+ Isaya 58:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Je, huku siko kule kufunga ambako mimi nachagua? Kufungua pingu za uovu,+ kufungua vifungo vya nira,+ na kuwaachilia huru wale waliopondwa,+ na kwamba ninyi mkate kila nira iwe vipande viwili?+
18 Nanyi mtalia siku hiyo kwa sababu ya mfalme wenu,+ ambaye mlijichagulia wenyewe, lakini Yehova hatawajibu siku hiyo.”+
6 “Je, huku siko kule kufunga ambako mimi nachagua? Kufungua pingu za uovu,+ kufungua vifungo vya nira,+ na kuwaachilia huru wale waliopondwa,+ na kwamba ninyi mkate kila nira iwe vipande viwili?+