Ayubu 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, Mungu atasikia kilio chakeTaabu ikimjia?+ Zaburi 18:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wanalia wapate msaada, lakini hakuna mwokozi,+Kwa Yehova, lakini yeye hawajibu.+ Methali 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mimi pia, kwa upande wangu, nitacheka taabu yenu wenyewe,+ na jambo mnalohofu litakapokuja nitafanya mzaha,+ Mika 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+
26 Mimi pia, kwa upande wangu, nitacheka taabu yenu wenyewe,+ na jambo mnalohofu litakapokuja nitafanya mzaha,+
4 Wakati huo watamwomba Yehova msaada, lakini hatawajibu.+ Naye atauficha uso wake kutoka kwao wakati huo,+ kulingana na walivyotenda ubaya kwa matendo yao.+