Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Huko wao huendelea kupaaza kilio, lakini yeye hajibu,+

      Kwa sababu ya kiburi+ cha wabaya.

  • Zaburi 18:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Wanalia wapate msaada, lakini hakuna mwokozi,+

      Kwa Yehova, lakini yeye hawajibu.+

  • Methali 28:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Anayegeuzia mbali sikio lake asiisikie sheria+—hata sala yake ni chukizo.+

  • Yeremia 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+

  • Yakobo 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki