Ayubu 35:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Huko wao huendelea kupaaza kilio, lakini yeye hajibu,+Kwa sababu ya kiburi+ cha wabaya. Zaburi 18:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Wanalia wapate msaada, lakini hakuna mwokozi,+Kwa Yehova, lakini yeye hawajibu.+ Methali 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anayegeuzia mbali sikio lake asiisikie sheria+—hata sala yake ni chukizo.+ Yeremia 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+ Yakobo 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+
11 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta juu yao msiba+ ambao hawataweza kuondoka ndani yake;+ nao hakika wataniomba msaada, lakini sitawasikiliza.+
3 Mnaomba, na bado hampokei, kwa sababu mnaomba kwa kusudi baya,+ ili mvitumie kwa tamaa zenu za mwili.+