Zaburi 66:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwa nimefikiria jambo lolote lenye kuumiza moyoni mwangu,Yehova hatanisikia.+ Zaburi 109:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Anapohukumiwa, na aende zake kama mwovu;Na sala yake na iwe dhambi.+ Methali 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yehova yuko mbali sana na waovu,+ lakini huisikia sala ya waadilifu.+ Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+
15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+