Methali 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia;+ lakini mtu yeyote mwovu anapotawala, watu huugua.+ Mhubiri 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.
4 Nami nikarudi nipate kuona matendo yote ya uonevu+ yanayofanywa chini ya jua, na, tazama! machozi ya wale wanaokandamizwa,+ lakini hawakuwa na mtu wa kuwafariji;+ nao wakandamizaji walikuwa na nguvu, hivi kwamba hawakuwa na mtu wa kuwafariji.