Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ikiwa nilikuwa nikikataa hukumu ya haki ya mtumwa wangu

      Au ya kijakazi wangu katika kesi yao juu yangu,

  • Zaburi 140:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yule mwenye kuongea makuu—na asifanywe imara duniani.+

      Mtu wa jeuri—uovu na umwinde kwa mapigo yenye kurudiwa.+

  • Methali 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wenye hekima ndio wanaoweka hazina ya ujuzi,+ lakini kinywa cha mpumbavu kinakaribia uharibifu wenyewe.+

  • Methali 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+

  • Methali 28:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mwenye kiburi katika nafsi huchochea ugomvi,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atafanywa anenepe.+

  • Methali 29:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Majivuno ya mtu wa udongo yatamshusha,+ lakini yeye aliye na roho ya unyenyekevu atapata utukufu.+

  • Mathayo 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wao hufunga mizigo mizito na kuiweka juu ya mabega ya watu,+ lakini wao wenyewe hawataki kuisogeza kwa kidole chao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki