Methali 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+ Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mjinga ni uharibifu wake,+ na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.+ Methali 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake anailinda nafsi yake isipate taabu.+
3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+