Zaburi 141:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+ Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+ Methali 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+ Methali 13:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+ Mhubiri 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+
3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+
3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+
20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+