Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 141:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+

      Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+

  • Methali 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+

  • Methali 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu mbaya hunaswa kwa kosa la midomo,+ lakini mwadilifu hutoka katika taabu.+

  • Methali 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Anayelinda kinywa chake anaitunza nafsi yake.+ Anayefungua wazi midomo yake—yeye atapata uharibifu.+

  • Mhubiri 10:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hata katika chumba chako cha kulala usimlaani mfalme,+ na katika chumba cha ndani unapolala usimlaani yeyote aliye tajiri;+ kwa maana kiumbe kinachoruka cha mbinguni kitafikisha sauti hiyo na kiumbe chenye mabawa kitasema jambo hilo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki