Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+

      Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+

      Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+

      Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+

  • Methali 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yeyote anayezuia maneno yake ana ujuzi,+ na mtu mwenye utambuzi ana roho ya utulivu.+

  • Methali 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake anailinda nafsi yake isipate taabu.+

  • Yakobo 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki