Zaburi 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+ Methali 17:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote anayezuia maneno yake ana ujuzi,+ na mtu mwenye utambuzi ana roho ya utulivu.+ Methali 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake anailinda nafsi yake isipate taabu.+ Yakobo 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+
39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+
19 Jueni hili, ndugu zangu wapendwa. Kila mtu lazima awe mwepesi kuhusu kusikia, si mwepesi wa kusema,+ si mwepesi wa ghadhabu;+