Zaburi 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+ Zaburi 141:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+ Methali 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake anailinda nafsi yake isipate taabu.+
39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+
3 Uweke mlinzi, Ee Yehova, kwa ajili ya kinywa changu;+Uweke mwangalizi juu ya mlango wa midomo yangu.+