7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
24Na ndipo Yoshua akakusanya pamoja makabila yote ya Israeli katika Shekemu,+ akawaita wanaume wazee wote wa Israeli+ na vichwa vyao na waamuzi wao na maofisa wao, nao wakasimama mbele za Mungu wa kweli.+
9Baada ya muda Abimeleki+ mwana wa Yerubaali akaenda Shekemu+ kwa ndugu za mama yake, akaanza kusema nao na kusema na familia yote ya nyumba ya baba ya mama yake, akisema: