Methali 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nanyi mnazidi kupuuza mashauri yangu yote,+ wala hamkukubali karipio langu.+ Methali 19:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sikiliza shauri na kukubali nidhamu,+ ili upate kuwa na hekima katika wakati wako ujao.+ Mhubiri 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia, katika njia yoyote ambayo mtu mpumbavu anatembea,+ moyo wake mwenyewe una kasoro, naye hakika humwambia kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.+ Isaya 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+
3 Pia, katika njia yoyote ambayo mtu mpumbavu anatembea,+ moyo wake mwenyewe una kasoro, naye hakika humwambia kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.+
30 “Ole wao wana wakaidi,”+ asema Yehova, “wale walio na mwelekeo wa kutekeleza shauri, lakini si la kutoka kwangu;+ na kumimina toleo la kinywaji, lakini si kwa roho yangu, ili kuongeza dhambi juu ya dhambi;+