Methali 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+ wala usiiache sheria ya mama yako.+ Methali 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shika nidhamu;+ usiiache.+ Ilinde, kwa maana hiyo ndiyo uzima wako.+ Methali 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Chukueni nidhamu yangu wala si fedha, na ujuzi badala ya dhahabu bora.+ Sefania 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nikasema, ‘Hakika utaniogopa; utakubali nidhamu’;+ ili makao yake yasikatiliwe mbali+—nitamtaka atoe jibu kwa ajili ya dhambi zake zote.+ Kweli waliharakisha kufanya matendo yao yote yawe yenye uharibifu.+ Waebrania 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+
7 Nikasema, ‘Hakika utaniogopa; utakubali nidhamu’;+ ili makao yake yasikatiliwe mbali+—nitamtaka atoe jibu kwa ajili ya dhambi zake zote.+ Kweli waliharakisha kufanya matendo yao yote yawe yenye uharibifu.+
7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+