4 Kuna kitu gani ambacho bado sijalifanyia shamba langu la mizabibu, ambacho bado sijafanya ndani yake?+ Kwa nini nilitumaini lizae zabibu, lakini mwishowe likazaa zabibu-mwitu?
9 Yehova hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyoona kukawia, bali yeye ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+