7 mimi, nami, hakika nitaendelea kuwakalisha mahali hapa, katika nchi ambayo niliwapa mababu zenu, kutoka wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.”’”+
5 wao wakisema, ‘Tafadhali, geukeni kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya na kutoka katika ubaya wa matendo yake,+ nanyi mwendelee kukaa juu ya nchi ambayo Yehova aliwapa ninyi na mababu zenu tangu zamani za kale na mpaka wakati mrefu ujao.+