Sefania 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nikasema, ‘Hakika mtaniogopa na kukubali nidhamu,’*+ Ili makao yake yasiweze kuharibiwa+—Ni lazima nilifanye liwajibike* kwa sababu ya mambo hayo yote. Lakini walitamani hata zaidi kutenda kwa upotovu.+
7 Nikasema, ‘Hakika mtaniogopa na kukubali nidhamu,’*+ Ili makao yake yasiweze kuharibiwa+—Ni lazima nilifanye liwajibike* kwa sababu ya mambo hayo yote. Lakini walitamani hata zaidi kutenda kwa upotovu.+