Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mkirekebisha kikweli njia zenu na matendo yenu; mkitekeleza haki kikweli kati ya mtu na jirani yake;+ 6 msipowakandamiza wakaaji wageni, mayatima,* na wajane;+ msipomwaga damu isiyo na hatia mahali hapa; na msipoifuata miungu mingine na kujiletea madhara;+ 7 basi nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa, katika nchi niliyowapa mababu zenu daima.”’”*

  • Yeremia 25:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Walikuwa wakisema, ‘Tafadhali, geukeni kila mmoja wenu kutoka katika njia zenu za uovu na matendo yenu maovu;+ nanyi mtaendelea kukaa kwa muda mrefu katika nchi ambayo Yehova aliwapa ninyi na mababu zenu zamani. 6 Msiifuate miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia, na kunikasirisha kwa kazi ya mikono yenu; la sivyo nitawaletea msiba.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki