Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 “Na sasa, enyi wakaaji wa Yerusalemu na watu wa Yuda,

      Tafadhali hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.+

       4 Ningelifanyia nini kingine shamba langu la mizabibu

      Ambacho bado sijafanya?+

      Kwa nini, nilipotumaini kwamba litazaa zabibu,

      Lilizaa zabibu za mwituni peke yake?

  • Isaya 63:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana alisema: “Kwa hakika hawa ni watu wangu, wana ambao hawatakosa kuwa washikamanifu.”*+

      Basi akawa Mwokozi wao.+

  • 2 Petro 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yehova* hakawii kuhusiana na ahadi yake,+ kama watu fulani wanavyodhani,* bali ni mwenye subira kwenu kwa sababu hataki yeyote aangamizwe bali hutaka wote wafikie toba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki