Mwanzo 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Mungu akaiona dunia na, tazama! ilikuwa imeharibika,+ kwa sababu kila mwenye mwili alikuwa amejiharibia njia yake duniani.+ Kumbukumbu la Torati 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+ Hosea 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao. Mika 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ole wao wanaopanga mambo yenye kudhuru, na wale wanaozoea kufanya lililo baya, vitandani mwao!+ Wao hulifanya kwenye nuru ya asubuhi,+ kwa sababu hilo liko katika uwezo wa mikono yao.+
12 Basi Mungu akaiona dunia na, tazama! ilikuwa imeharibika,+ kwa sababu kila mwenye mwili alikuwa amejiharibia njia yake duniani.+
5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+
9 Wamejiingiza sana katika kuleta uharibifu,+ kama katika siku za Gibea.+ Atakumbuka kosa lao;+ atakazia fikira dhambi zao.
2 “Ole wao wanaopanga mambo yenye kudhuru, na wale wanaozoea kufanya lililo baya, vitandani mwao!+ Wao hulifanya kwenye nuru ya asubuhi,+ kwa sababu hilo liko katika uwezo wa mikono yao.+