Kumbukumbu la Torati 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 aliyekulisha mana+ nyikani, ambayo baba zako hawakuwa wameijua, apate kukunyenyekeza+ na kukujaribu ili akutendee mema siku zako za baadaye;+ Kumbukumbu la Torati 32:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+ Zaburi 90:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Utuonyeshe jinsi ya kuzihesabu siku zetu hivi kwamba+Tupate kuuingiza moyo wa hekima.+ Waebrania 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+
16 aliyekulisha mana+ nyikani, ambayo baba zako hawakuwa wameijua, apate kukunyenyekeza+ na kukujaribu ili akutendee mema siku zako za baadaye;+
29 Laiti wangalikuwa wenye hekima!+ Ndipo wangalifikiria hili kwa uzito.+Wangaliufikiria mwisho wao baadaye.+
11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali ni yenye kuhuzunisha;+ lakini baadaye kwa wale ambao wamezoezwa nayo hiyo huzaa tunda lenye kufanya amani,+ yaani, uadilifu.+