Methali 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+ Methali 18:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Midomo ya mtu aliye mjinga huingia katika mabishano,+ na kinywa chake huitisha mapigo.+ 1 Petro 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ninyi hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo huo kwenda kwenye dimbwi lilelile la chini la upotovu,+ wao wanashangaa na kuendelea kuwatukana ninyi.+
23 Kwa mtu mjinga kuendeleza mwenendo mpotovu ni kama mchezo,+ lakini mtu mwenye utambuzi ana hekima.+
4 Kwa sababu ninyi hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo huo kwenda kwenye dimbwi lilelile la chini la upotovu,+ wao wanashangaa na kuendelea kuwatukana ninyi.+