Methali 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kila mtu aliye mwerevu atatenda kwa ujuzi,+ lakini mjinga ataeneza upumbavu kila mahali.+ Methali 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa cha mjinga ni uharibifu wake,+ na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.+ Methali 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu mjinga huiachilia roho yake yote, lakini mwenye hekima huituliza mpaka mwisho.+ Mhubiri 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi,+ nayo sauti ya mjinga kwa sababu ya wingi wa maneno.+
3 Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi,+ nayo sauti ya mjinga kwa sababu ya wingi wa maneno.+