Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kila mtu aliye mwerevu atatenda kwa ujuzi,+ lakini mjinga ataeneza upumbavu kila mahali.+

  • Methali 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kinywa cha mjinga ni uharibifu wake,+ na midomo yake ni mtego wa nafsi yake.+

  • Methali 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mtu mjinga huiachilia roho yake yote, lakini mwenye hekima huituliza mpaka mwisho.+

  • Mhubiri 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi,+ nayo sauti ya mjinga kwa sababu ya wingi wa maneno.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki