Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+ Methali 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+ Mhubiri 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+
2 Ulimi wa watu wenye hekima hutenda mema kwa ujuzi,+ lakini kinywa cha wajinga hububujika upumbavu.+
14 Na mpumbavu husema maneno mengi.+ Mwanadamu hajui jinsi mambo yatakavyokuwa; na yale yatakayotokea baada yake, ni nani anayeweza kumwambia?+