25 “Kwa sababu hiyo ninawaambia ninyi: Acheni kuhangaika+ juu ya nafsi zenu kuhusu kile mtakachokula au kile mtakachokunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, nafsi haimaanishi zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+
18 Kwa hiyo akasema, ‘Nitafanya hivi:+ Nitabomoa maghala yangu na kujenga yaliyo makubwa zaidi, na humo nitakusanya nafaka yangu yote na vitu vyangu vyema vyote;+