Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye Daudi akaanza kutoka. Popote ambapo Sauli alikuwa akimtuma, alitenda kwa busara,+ hivi kwamba Sauli akamweka juu ya watu wa vita;+ na ikaonekana vema machoni pa watu wote na pia machoni pa watumishi wa Sauli.

  • 1 Wafalme 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nawe lazima ushike wajibu wako kwa Yehova, Mungu wako, kwa kutembea katika njia+ zake, kwa kushika sheria zake, amri zake na maamuzi yake ya hukumu+ na shuhuda zake, kulingana na yaliyoandikwa katika sheria ya Musa,+ ili utende kwa busara katika kila jambo unalofanya na kila mahali unapoenda;

  • Zaburi 119:99
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  99 Nimepata kuwa na ufahamu kuliko walimu wangu wote,+

      Kwa sababu vikumbusho vyako ndivyo ninavyohangaikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki