Kumbukumbu la Torati 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Naye atakaa nacho, na kukisoma siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake ili apate kushika maneno yote ya sheria hii na masharti haya kwa kuyafanya;+ Kumbukumbu la Torati 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi lazima mshike maneno ya agano hili na kuyatenda, ili kila kitu mnachofanya kiwe na matokeo mazuri.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
19 “Naye atakaa nacho, na kukisoma siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake ili apate kushika maneno yote ya sheria hii na masharti haya kwa kuyafanya;+
9 Basi lazima mshike maneno ya agano hili na kuyatenda, ili kila kitu mnachofanya kiwe na matokeo mazuri.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.