1 Samweli 18:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Watawala wa Wafilisti walikuwa wakienda vitani, lakini kadiri walivyoenda, ndivyo Daudi alivyozidi kufanikiwa* kuliko watumishi wote wa Sauli;+ na jina lake liliheshimiwa sana.+
30 Watawala wa Wafilisti walikuwa wakienda vitani, lakini kadiri walivyoenda, ndivyo Daudi alivyozidi kufanikiwa* kuliko watumishi wote wa Sauli;+ na jina lake liliheshimiwa sana.+