Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+ Yeremia 10:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+ Waroma 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sasa tunajua kwamba, kupatana na kweli,+ hukumu ya Mungu iko juu ya wale walio na mazoea ya kufanya mambo ya namna hiyo.
4 Na kwa nguvu za mfalme ameipenda hukumu.+Wewe mwenyewe umeufanya imara unyoofu.+Umetekeleza hukumu na uadilifu katika Yakobo.+
24 Hata hivyo, Ee Yehova, nirekebishe mimi kulingana na hukumu;+ si katika hasira yako,+ usije ukanimaliza.+
2 Sasa tunajua kwamba, kupatana na kweli,+ hukumu ya Mungu iko juu ya wale walio na mazoea ya kufanya mambo ya namna hiyo.