Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana yeye husababisha maumivu, lakini hulifunga jeraha;

      Yeye huvunja vipande-vipande, lakini mikono yake huponya.

  • Zaburi 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa sababu kuwa chini ya hasira yake ni kwa muda kidogo tu,+

      Kuwa chini ya nia yake njema ni kwa muda wote wa maisha.+

      Huenda kilio kikakaa wakati wa jioni,+ lakini asubuhi kuna vigelegele vya shangwe.+

  • Isaya 54:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa maana nilikuacha kabisa kwa muda kidogo,+ lakini nitakukusanya kwa rehema nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki