2 Wafalme 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini Yehova alikuwa ameahidi kwamba hatafutilia mbali jina la Israeli kutoka chini ya mbingu.+ Kwa hiyo akawaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.+
27 Lakini Yehova alikuwa ameahidi kwamba hatafutilia mbali jina la Israeli kutoka chini ya mbingu.+ Kwa hiyo akawaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.+